Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, October 29, 2012

AZAM FC WAMTIMUA KOCHA WAO


Klabu ya AZAM imemtimua kocha wao mpya aliyetengazwa kwa mbwembwe siku alipotua nchini Boris Bunjak .
 
 kocha huyo ametimuliwa baada ya kufungwa mabao matatu kwa moja dhidi ya simba katika mchezo wa ligi kuu TANZANIA BARA .

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...