Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, October 18, 2012

WASHINDI 42 WA DROO YA TIGO SMART CARD WAPATIKANA LEO

Ofisa Uhusiano wa Tigo, Tully Mwaikenda, akizungumza katika mkutano huo. Kulia ni Meneja wa Intaneti wa Tigo, Titus Kafuma.

Ofisa wa Kampuni ya Tigo, David Sekwao (kushoto),  akibofya kwenye kompyuta kupata mmoja wa washindi 42 wa droo kwanza ya mwezi ya Jumuiya ya Tigo smart card, Dar es Salaam leo. Anayeshuhudia kulia ni Ofisa Mkaguzi kutoka Bodi ya Taifa ya Kusimamia Michezo ya Kubahatisha, Humud Abdulhussein.






No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...