Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli
(waliokaa mbele wapili kushoto) akizungumza na waandishi wa habari
jijini Dar es Salaam leo, kuhusu utaratibu wa usajili wa magari ya Umma
na kuwepo kwa zoezi rasmi la kurejesha usajili wa magari yote. Serikali
imetoa muda hadi kufikia Novemba 15,2012 magari ya Umma yaliyo na
namba za kiraia yarejeshwe namba stahiki za magari ya Umma .
Baada
ya hapo Operesheni kamata kamata magari, pikipiki, Bajaj na mitambo ya
umma, itaanza na vilevle kutakuwa na aina ya namba za usajili
zitakazotumika kama ST, PT, MT, JW, DFP, CW, SM na SU.
Kwa mujibu
wa Dk. Magufuli, hadi sasa serikali imeshasajili vyombo vya moto,
123,431 yakiwemo magari, pikipiki, bajaj na mitambo ya umma. Mkuu wa
Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, SACP Mohamed Mpinga.
PICHA/MWANAKOMBO JUMAA WA MAELEZO
|
I truly love your blog.. Great colors & theme. Did you
ReplyDeletemake this amazing site yourself? Please reply back as I'm trying to create my own personal site and would like to know where you got this from or exactly what the theme is called. Many thanks!
Here is my webpage - laser cellulite treatment
supreme clothing
ReplyDeleteair max 95
yeezy boost
golden goose sneakers
michael kors outlet online
off white clothing
kobe shoes
nike air max
adidas stan smith
michael kors handbags
adidas yeezy
ReplyDeletegolden goose
balenciaga
goyard handbags
golden goose outlet
goyard handbags
supreme outlet
golden goose
golden goose sneakers
goyard bags