Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, August 24, 2013

JENGO LA OFISI ZA UHAMIAJI MKOA WA MBEYA LAZINDULIWA BAADA YA KUFANYIWA UKARABATI


 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, akikata utepe  uzinduzi wa Jengo la Ofisi za Uhamiaji Mkoa wa Mbeya lililokuwa likifanyiwa ukarabati kufuatia uchakavu wa Ofisi ziliokuwepo awali.
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, akipanda mti kwenye jengo hilo la Uhamiaji
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, akihutubia mara baada ya uzinduzi wa jengo la uhamiaji

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...