Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, August 26, 2013

KUMBUKUMBU YA MWAKA MMOJA BAADA YA KIFO CHA MZEE JAMES BUKUMBI (BABA MZAZI WA ERIC SHIGONGO)


Padri Zenobius Mtewele akiongoza ibada ya kumbukumbu.
Eric Shigongo akiwa katika maombi.
Waumini wakifuatilia ibada.
Mke wa marehemu, Asteria Bukumbi akipewa kumunio.
Wanakwaya walioipamba ibada hiyo.
Waumini wa Roman Catholic wakikomunika wakati wa ibada hiyo.
Mzee Muhidini Gurumo (kulia) akipata chakula. Kushoto ni Juma Mbizo.
Mtoto wa marehemu, Masha Bukumbi (kushoto) akiteta jambo.
Waumini wakiendelea na ibada.
Waalikwa wakijiandaa kwenda kupata chakula.
Mmoja wa wahariri wa Global Publishers, Elvan Stambuli akiteta na padre aliyeendesha ibada hiyo.
Padri akifunga ibada kwa sala.
Shigongo akisalimiana na waalikwa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...