Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, August 30, 2013

MASHINDANO YA NGUMI TEMEKE KUFIKIA TAMATI IJUMAA HII


Bondia Festo Ngabo Kushoto na Mohamedi Chibumbui wakipeana mikono kabla ya kuanza kwa mpambano wao wakati wa mashinano ya wazi yaliyofanyika TEMEKE Dar es salaam Chibumbui alishinda kwa TKO ya raundi ya kwanza Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Kocha wa Mchezo wa ngumi Kimataifa Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa chama cha mchezo wa Ngumi Mkoa wa Temeke GOGO POA
Bondia Festo Ngabo Kushoto na Mohamedi Chibumbui wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde wakati wa mpambano waowa mashinano ya wazi yaliyofanyika TEMEKE Dar es salaam Chibumbui alishinda kwa TKO ya raundi ya kwanza Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Baadhi ya makocha wakibadilishana mawazo kushoto ni Ndame,Remmy Ngabo,Majeshi Kibilabila na Gogo Poa
Mohamedi chibumbui akinyoshwa mkono kluashilia ushindi wake

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...