Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, August 23, 2013

PINDA AFUNGUA KONGAMANO LA UWEKEZAJI MANYARA


IMG_0059Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama asali wakti alipotembela Banda la Halmashauri ya Wilaya Mbulu  kabla ya kufungua kongomano la  Kwanza la  Uwekezaji katika mkoa wa Manyara  mjini Babati  Agosti 22, 2013.  Kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dr, Mary Nagu na Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo, Erasto Mbwilo.
IMG_0061 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama asali wakti alipotembela Banda la Halmashauri ya Wilaya Mbulu  kabla ya kufungua kongomano la  Kwanza la  Uwekezaji katika mkoa wa Manyara  mjini Babati  Agosti 22, 2013.
IMG_0089Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akitazama  mbolea  wakati alipotembelea  banda la kiwanda cha Mbolea cha Minjingu  kabla ya kufungua Kongamano  la Kwanza  la Uwekezaji  katika  Mkoa wa  Manyara mjini Babati Agosti 22, 2013. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Manyara, Erasto Mbwilo.  IMG_0119Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wanachama wa    kikundi cha ushonaji  Ufukuba  katika  banda la kikundi hicho  kabla ya kufngua  Kongamano la  Kwanza la Uwekezaji katika mkoa wa  Manyara  mjini babati Agosti  22, 1013.
IMG_0168Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua Kongamano la Kwanza la Uwekezaji  katika Mkoa wa Manyara mjini Babati Agosti 22, 2013.
IMG_0179Baadhi ya  washiriki wa  Kongamano la Kwanza la  Uwekezaji  katika Mkoa wa Manyara  wakimsikiliza  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua   kongamano hilo mjini Babati  Agost 22, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...