Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, August 16, 2013

KUMBUKUMBU

KUMBUKUMBU

FAMILIA ya Brigedia General, January Nyambibo hatutaacha kukukumbuka kwa sala na maombi wakati wote baba yetu mpendwa uliyetutoka ghafla Agosti 15, 2008 na kuzikwa Agosti 18 katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

LEO Agosti 15 umetimiza miaka mitano tangu ulipotutoka, unakumbukwa na watoto wako (Husna Mr & Mrs Juma Kasesa), Mr & Mrs Malu Stonchi, (Mr & Mrs Misana) Hamisa, Masha, Mkama, Bwire, Perus, Peter, Mkeo Rukia Abdalah Kitogo na wajukuu zako Haji, Amanda, Jenifer, Angel, Mkama, Devon, Robert, Mohsini, Rukia na Familia yote ya Nyambibo.

Sisi tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi
Bwana ametoa na bwana ametwaa.

Jina lake lihimidiwe
Amin

FAMILIA ya Brigedia General, January Nyambibo hatutaacha kukukumbuka kwa sala na maombi wakati wote baba yetu mpendwa uliyetutoka ghafla Agosti 15, 2008 na kuzikwa Agosti 18 katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

LEO Agosti 15 umetimiza miaka mitano tangu ulipotutoka, unakumbukwa na watoto wako (Husna Mr & Mrs Juma Kasesa), Mr & Mrs Malu Stonchi, (Mr & Mrs Misana) Hamisa, Masha, Mkama, Bwire, Perus, Peter, Mkeo Rukia Abdalah Kitogo na wajukuu zako Haji, Amanda, Jenifer, Angel, Mkama, Devon, Robert, Mohsini, Rukia na Familia yote ya Nyambibo.

Sisi tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi
Bwana ametoa na bwana ametwaa.

Jina lake lihimidiwe
Amin

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...