Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, January 2, 2012

MATUMLA AMGALAGAZA CHEKA KWA POINTI

Bondia wa kike Asha Nzoa akishangilia baada ya kutangaza msindi kwa kumtwanga mpinzani wake Slma Kihobwa katika mpambano wa utangulizi kabla ya Mohamedi Matumla na Cosmas cheka awajapanda ulingoni jana katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro
Asha Nzoa kushoto akioneshana ufundi wa kutupa masumbwei na Salma Kihobwa
kutoka kushoto ni Rashid Matumla,Mohamedi Matumla,Mbwana Matumla na Mkwanda Matumla
Mohamed Matumla

Mohamed Matumla Kuichoto na Cosmas Cheka wakioneshana uwezo wa kutupa Masumbwi jana
Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera akikingiana ngumi na Rais Wa PST Emanuel Mlundwa kabla ya kuanza kwa mpambano jana
Bondia Rashid Matumla (kushoto) akimpa mawaidha mwanae wa kwanza Mohamed Matumla wakati wa mpambano wake na Cosmas Cheka kulia ni Mbwana Matumla akimkandakata
Mbwana Matumla kulia akimganga bondia Mohamedi Matumla wakati wa Mpambano wake na Cosimas Cheka Mohamedi alishinda kwa point

Bondia mohamedi Matuimla akishangilia ushindi baada ya kutangazwa kumchapa Cosmas Cheka
Bondia Cosmas Cheka na Mohamed Matumla wakioneshana ufundi wa kurusha masumbwi wakati wa mchezo wao uliofanyika uwanja wa Jamuhili Morogoro juzi Matumla walishinda kwa pointi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...