Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, January 2, 2012

SIMU YA MCHINA YAMLIPUKIA NA KUMUUNGUZA HAULE


Mbunge wa Jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe (kulia) akimjulia hali mfanyabiashara wa mafuta katika Kijiji cha Luilo Ludewa, Joseph Haule ambaye amelipuliwa na mafuta baada ya simu yake ya kichina kulipuka,majeruhi huyo anatibiwa katika Hospital ya Wilaya ya Ludewa, mkoani Iringa. (PICHA ZOTE NA FRANCIS GODWIN)
Filikunjombe na baadhi ya wananchi wakimjulia hali Joseph Haule
Joseph Haule akiwa amelazwa Hospitali

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...