Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, October 3, 2012

KOCHA MPYA WA YANGA AANZA KAZI RASMI KUINOA TIMU HIYO


 Wachezaji wakijifua kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya Simba siku ya jumatano
 Wachezaji wakijifua kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya Simba siku ya jumatano
  Wachezaji wa Yanga wakimsikiliza kocha wao, Emstus Wilhelmus Johannes Brandts wakati wa mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola jijini Dar es Salaam
Wachezaji wa Yanga wakiwa katika mazoezi ya kujiandaa na mchezo wao dhidi ya Simba chini ya kocha wao mpya raia wa Uholanzi, Emstus Wilhelmus Johannes Brandts kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...