Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, October 3, 2012

Mohamed Mwikongi 'Frank' na Rose Ndauka wana real promise

WASANII wa Filamu nchini Mohamed Mwikongi 'Frank' na Rose Ndauka wapo mbioni kuachia filamu ya real promise itakayotoka wiki hii akizungumzia filamu hiyo Frank amesema kuwa wapenzi wake wakae mkao wa kula kwani kazi imeshakamilika na sasa wasubili kuiona mtaani

Kazi hiyo itakayokuwa ikisambazwa na Kampuni ya SPLASH ya jijini Dar es salaam itatoka wiki hii ambayo ina mambo mengi ya kujifunza katika filamu hiyo inayozungumzia mapenzi ya kweli

Aidha aliongeza kwa kusema wapenzi wake wamuunge mkono kwa kununua nakara alisi ya filamu hiyo na kuacha uchakahuaji kwa watu wanaonyonya jasho la wasanii kwani wanadumaza maendeleo ya wasani

Filamu hiyo yenye mafundisho mbalimbali itatoka wiki hii kwa ajili wapenzi wapate burudani wakiwa majumbani na kujifunza mambo ya familia


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...