Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, October 3, 2012

REDDS MISS TANZANIA WAINGIA KAMBINI LEO.


Warembo wa Shindano la Redss Miss Tanzania wakifuatilia maelekezo mbalimbali mara baada ya kuwasili kambini kwenye Hoteli ya Girraffe jijini Dar es Salaam ambapo jumla ya warembo 30 wameingia kwenye kambi hiyo.    




Kila mmoja akiwa makini kusikiliza maelezo ya maishamapya ya kambini.
Meneja wa Mikutano wa Hoteli ya Giraffe James Philbert akiwafundisha warembo hao namna ya kupiga menyu kwenye mahoteli kama hayo.
Hapa sasa wanapiga menyu.
Warembo wote wakapiga picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...