Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, September 24, 2010

Dk. BILAL AVUNA KADI LUKUKI ZA WAPINZANI KAYANGA, BUKOBA


Mgombea Mwenza wa urais kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduxi CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipokea kadi za waliokuwa wanachama wa Vyama vya TLP, CHADEMA na CUF waliotoka katika Kata mpya ya Lukula, ambao walifika katika mkutano wa kampeni uliofanyika Kijiji cha Mabila Wilaya ya Karagwe Mkoa wa Kagera jana Sept 23, ambapo jumla ya wanachama 144 kutoka vyama vya upinzani walitarajia kurejesha kadi zao na 14 kati yao walikabidhi kadi hizo kwa mgombea mwenza.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...