Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, August 21, 2011

Mussa 'Shoe Shiner' Mkongwe jijini Dar es Salaam


Mussa ambaye alianza 'ushushaina' hapa jijini kunako Miaka ya 1980 anasema kuwa kazi hiyo inamfanya awe na uhakika wa kuishi tu... Lakini pamoja na hilo Bwana Mussa amejenga nyumba ya vyumba vitatu na watoto wanaenda shule. Anapatika mbele ya ilipokuwa Empress Cinema zamani jirani na Idara ya Habari Maelezo barabara ya Samora.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...