Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, August 28, 2011

WAREMBO WA VODACOM MISS TANZANIA WAJIACHIA KWENYE MICHEZO


Warembo wa Vodacom Miss Tanzania 2011 leo walikutana na kushiriki michezo ya aina mbalimbali na hapa nawaletea baadhi ya michezo hiyo ukiwepo wa kuogelea. Hawa walionesha kushinda lakini baade walivutwa.
upande wa pili mambo yalikuwa hivi na timu hii iliibuka washindi. Licha ya kamba kukatika mara mbili.
furaha ya ushindi kwa timu ya wavuta kamba.
Warembo wa Vodacom walifungua dimba na kati ya timu za M Pesa na Voda Jamaa.
Hashimu Lundenga nae alishiriki katika soka na hapa akifanya vitu vyake.
Ulifika wakati wa kucheza mziki na mshindi wa hapa alikabidhiwa kitita cha 50,000/= aliyekwenda msamba aliibuka mshinda.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...