Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, August 19, 2011

UWANJA WA NDEGE WA ZANZIBAR WAPATA LUNINGA KUTOKA ZANTEL





Meneja Uhusiano wa Zantel, Charles Jutta (kushoto) akimkabidhi Waziri wa Mawasiliano na Miundombinu wa Zanzibar, Hamad Masoud Hamad luninga ambazo zitafungwa kwenye chumba cha kupokea wageni rasmi na chumba cha wanaosafiri katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar, wakati wa hafla fupi iliyofanyika mjini Zanzibar jana. Msaada huu ni sehemu ya mchango wa Zantel wa mradi unaoendelea wa uwanja wa ndege wa Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...