Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, June 29, 2010

KINONDONI KUPATA MREMBO WAKE JULAI 2


YUSUPH GEORGE katikati akiwa na mkewe waandaaji wa shindano la miss KINONDONI wakitangaza zawadi za warembo kulia ni mdau Selemani Mbuguni.

Jumla ya warembo kumi na moja wanatarajia kupanda jukwaani kuwania taji la mrembo wa KINONDONI lilopangwa kufanyika JULAI 2 MWAKA HUU.

Mshindi wa pili atapata shilingi milioni moja na mshindi wa tatu laki nane

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...