Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, June 17, 2010

MISS ILALA WAENDELEA NA MAZOEZI

Warembo watakaowania taji la Miss Ilala wakiwa katika picha ya pamoja ambapo manspaa ya Ilala Itamgaramia Mrembo atakaeiwakilisha Katika Mashindano ya Miss Tanzania

Miss Redds Ilala 2009 Sylvia Frank Shally ambaye ndiye anayewanoa washiriki wa sindano la Miss Ilala 2010,akiwaelekeza jambo leo asubuhi kambini kwao ndani ya Lamada Hotel wakati walipokuwa wikifanya mazoezi ya kujiwela fiti na shindano hilo ambalo limekuwa likiibua msisimko mkubwa wa washabiki na watazamaji wake.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...