Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, June 28, 2010

MWISHO WA KUSAJILI LAIN 30 JUNE 2010


Bahadhi ya wakazi wa jiji la Dar es salaam wakiwa wamejitokeza kusajili laini za simu zao za mkononi jana baada ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kutangaza faini kwa watakaoshindwa kusajili simu zao.mwisho kusajili simu hizo ni 30.6.2010. watu wengi wamekuwa wakijitokeza siku za mwisho mwanzoni walikuwa wapi kusajili

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...