Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, October 1, 2012

MAHAFALI YA KAMALDIN MBUGUNI


 Kamaldin Suleima Mbuguni akiwa na baba yake Mbuguni na mama yake Ananora katika sherehe ya mahafali ya darasa la saba mwishoni mwa wiki Blog Hii inampongeza na kumtakia safari njema katika maandalizi ya elimu ya Sekondari.
                                  amaldin Mbuguni akiwa na baba yake Suleiman Mbuguni.
 
 Kamaldin akilishwa keki na binti wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Yanga Iman Madega ambaye  wamemaliza pamoja katika Shule ya Msingi Shree Hindu Mandal.
Wazazi wa mtoto Kamaldin (Katikati) kulia ni Baba yake Suleimana Mbughuni na kushoto ni mama yake
KAMALDIN MBUGUNI akiwa na cheti chake cha kuitimu
Mahafali ya Shule ya Msingi Hindu Mandal Kijitonyama, Kulia ni mtoto Kamaldin Suleiman Mbughuni

Hizi ndizo keki za Graduation ya Hindu Mandal

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...