Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, January 28, 2013

KIKAO CHA DHARURA CHA BARAZA KUU LA CHADEMA KATIKA PICHA


 Mbunge wa Ubungo John Mnyika akitete jambo na Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Willbroad Slaa (kulia) wakati wa Kikao cha dharura cha Baraza Kuu la Chadema kilichofanyika jijini Dar es Salaam, leo. (Picha na Habari Mseto Blog)
 Mbunge Kigoma, Zitto Kabwe akiwasikiliza kwa makini wajumbe wa kikao cha dharura cha Baraza Kuu la Chadema kutoka mkoa wa Mtwara.
 Mbunge wa Ubungo, John Mnyika akiwa amepozi na baadhi ya wajumbe.
 Baadahi ya wabunge wa Chadema wakiwa katika kikao hicho.

 Kazi imeanza
 Muasisi wa Chadema, Edwin Mtei akiingia katika ukumbi wa mkutano huku akifuatana na Mwenyekiti wa Chadema, Freema Mbowe.
 Wajumbe wa mkutano.
 Katibu Mkuu Dk. Willbroad Slaa akizungumza katika mkutano huo.
 Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akifungua mkutano huo
 Wajumbe wa Kamati Kuu.
 Peoples Power
 Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akimkabidhi kadi ya uanchama wa chama hicho aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Clemence Tara baada ya kujiunga na chama hicho.
 Pokea katiba ya chama cha Chadema
 Bidhaa mbalimbalio zenye nembo ya Chadema zikiuzwa

4 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...