Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, January 28, 2013

masumbwi ngumi mawe yalivyofanyika tandale


Bondia Charles Mashali kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Adam Ngange wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumb i wa CCM Tandale Dar es salaam jana Mashali alishinda kwa point Picha na www.superedboxingcoach.blogspot.com

Bondia Adam Ngange kushoto akioneshana umaili wa kutupiana makonde na Charles Mashali wakati wa mpambano wao uliofanyika kwa mala ya kwanza katika ukumbi wa CCM Tandale Dar es salaam jana picha na www.superedboxingcoach.blogspot.com
Bondia Athumani Pendeza kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Kalama Nyilawila wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa CCM Tandele nyilawila alishinda kwa K,O raundi ya tatu picha na www.superedboxingcoach.blogspot.com

Bondia Kalama Nyilawila kushoto akipambana na Athumani Pendeza wakati wa mpambano uliofanyika katika ukumbi wa CCM Tandale Dar es salaam jana Nyilawila alishinda kwa K,o raundi ya tatu picha na www.superedboxingcoach.blogspot.com
Baazi ya wadau wa mchezo wa ngumi wakiwa na mabondia kutoka kushoto ni Kaike Silaju, Nassoro Choro,Selemani Kidunda, Thomas Mashali na Kibavu wakifatilia masumbwi
Bondia Fadhili Majia kushoto akikwepa konde la Antoni Mathias wakati wa mpambano wao uliofanyika CCM Tandale Dar es salaam jana Majia alishinda kwa K,O raundi ya pili picha na www.superedboxingcoach.blogspot.com
Bondia Hassan Mandula kushoto akimlushia makonde James Martini  wakati wa mpambano wao uliofanyika jana Mandula alishinda kwa point picha na www.superedboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...