Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, January 21, 2013

‘THE MIC KING’ LAZIDI KUCHENGUA MASHABIKI DAR LIVE


 
Mmoja wa washiriki, Ally Kawina, akichana mistari.
Ibrahim Jackson akiwaonyesha mashabiki hazina yake katika mpambano huo.
Arnold Mathias akikamua ‘vipande’ vyake.
 
Ally Zuberi akionyesha vitu vyake.
Baraka Daniel akifanikisha zamu yake katika ‘microphone’.
 
Bahati Charles naye akifanya vitu vyake.
SHINDANO la kumtafuta mkali wa kuchana mistari ya ‘hip hop’ la The Mic King linalofanyika ndani ya ukumbi wa maraha wa Dar Live ulioko Mbagala jijini Dar es Salaam kila Jumapili, limezidi kuchanja mbuga na kuwachengua mashabiki wengi wanaojitokeza katika ukumbi huo.
Shindano hilo hurushwa moja kwa moja kila Jumanne saa 4 usiku na kurudiwa siku ya Jumamosi saa 8 mchana katika kituo cha televisheni cha DTV.
(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY/GPL)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...