Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, September 25, 2011

NGUMI, KICK BOXING ZAPINGWA DAR ES SALAAM JANA

Mabondia Deo Samuel (kushoto) na Mohamed Matumla wakipambana wakati wa mpambano wao pambano hilo lilitoka droo baara ya kugongana vichwa raundi ya kwanza
bondia Jonas Godfrey akioneshwa ushindi baada ya kumtwanga mpinzani wake Yohana Robart Dar es salaam jana
Kick Boxing Hamisi Mwakinye kulia akilusha teke dhidi ya mpinzani wake Said Mabunda Dar es salaam jana Mwakinye alishinda kwa KO raundi ya kwanza
Pendo Njau kushoto na kanda Kabongo wakiangalia mipambano
Kick Boxing Khalidi Manje kushoto akipambana na Amosi Mwamakula


mabondia chipukizi wakioneshana umaili wa kutupa masumbwi

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...