
Mabondia Deo Samuel (kushoto) na Mohamed Matumla wakipambana wakati wa mpambano wao pambano hilo lilitoka droo baara ya kugongana vichwa raundi ya kwanza

bondia Jonas Godfrey akioneshwa ushindi baada ya kumtwanga mpinzani wake Yohana Robart Dar es salaam jana

Kick Boxing Hamisi Mwakinye kulia akilusha teke dhidi ya mpinzani wake Said Mabunda Dar es salaam jana Mwakinye alishinda kwa KO raundi ya kwanza

Pendo Njau kushoto na kanda Kabongo wakiangalia mipambano

Kick Boxing Khalidi Manje kushoto akipambana na Amosi Mwamakula



mabondia chipukizi wakioneshana umaili wa kutupa masumbwi
No comments:
Post a Comment