Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, September 3, 2011

WAREMBO WA VODACOM MISS TANZANIA WATEMBELEA KIWANDA CHA TBL


Brewmaster wa kampuni ya bia ya TBL Mr Justino Jekela akitoa maelezo kwa warembo wanaoshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania wakati walipotembelea katika kiwanda hicho Ilala jijini Dar es salaam ili kujionea na kujifunza shughuli mbalimbali zinazofanyika kiwandani hapo.
Warembo wakiingia katika kiwanda cha TBL wakati walipotembelea kiwandano hapo mchana huu.
Meneja wa kinywaji cha Redds Victoria Kimaro akizungumza na waandishi wa habari wa kituo cha Televisheni cha Chanel Ten, mara baada ya warembo wanaoshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011 kutembelea kiwanda hicho,

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...