Naibu Waziri wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Bi. Mwantumu Mahiza (wa pili kushoto) akikagua darasa wakata wa ujenzi wa shule ya Sekondari ya Miono iliyopo Kata ya Miono Tarafa ya Miono Wilaya ya Bagamoyo inavyoendelea alipotembelea kuona ujenzi wa shule hiyo itakayo kuwa na wanafunzi wa kidato cha tano na sita wenye vipaji vya masomo ya Sayansi katikati ni Mhandisi wa Wizara hiyo Bw. Isihaka Sudi kushoto ni Mkadiliaji Majenzi wizara hiyo Bw Bakuls Gelbert
Marquee
tangazo
Thursday, October 14, 2010
NAIBU WAZIRI MWANTUMU MAHIZA AKAGUA SHULE YA SEKONDARI MIONO KUFUNGULIWA RASMI 201I
Naibu Waziri wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Bi. Mwantumu Mahiza (wa pili kushoto) akikagua darasa wakata wa ujenzi wa shule ya Sekondari ya Miono iliyopo Kata ya Miono Tarafa ya Miono Wilaya ya Bagamoyo inavyoendelea alipotembelea kuona ujenzi wa shule hiyo itakayo kuwa na wanafunzi wa kidato cha tano na sita wenye vipaji vya masomo ya Sayansi katikati ni Mhandisi wa Wizara hiyo Bw. Isihaka Sudi kushoto ni Mkadiliaji Majenzi wizara hiyo Bw Bakuls Gelbert
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment