Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, October 11, 2010

VODACOM YAKABIDHI MADARASA SHULE YA SEKONDARI ILULA


Mkurugenzi wa mfuko wa kusaidia jamii wa Vodacom(Vodacom Foundation)Mwamvita Makamba(kushoto)akibadilishana mawazo na baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya Ilula wilayani kilolo mkoa wa Iringa mara baada ya kukabidhi madarasa mawili yenye thamani ya shilingi Miliopni 30 katika shule hiyo,Mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi wa mfuko wa kusaidia jamii wa Vodacom(Vodacom Foundation)Mwamvita Makamba akikata utepe ikiwa ni inshara ya kukabidhi madarasa mawili yenye thamani ya shilingi Miliopni 30 katika shule ya Sekondari ya Ilula wilaya ya kilolo Mkoani Iringa,na wapili kutoka kushoto ni Afisa Elimu wa Sekondari wilaya ya kilolo Theresa Zenda na watatu ni Mwalim Mkuu wa shule hiyo Damas Mgimwa,Mwishoni mwa wiki.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...