Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, October 10, 2011

CABO SNOOP WA ANGOLA NA FAMILY BONANZA DAY JANA


Mwanamuziki Cabo Snoop kutoka nchini Angola akifanya vitu vyake jukwaani huku akisasaidiwa na meneja wake kulia wakati wa tamasha la Family Day Bonanza lililofanyika jana kwenye viwanja vya Leadesr Kinondoni jijini Dar es salaam na kushirikisha pia wasanii kadhaa wa nyumbani Tanzania wakiwemo Diamond, Islay na Baendi ya African Stars ya jijini Dar es salaam.
Msanii Islay akifanya vitu vyake na wimbo wake "NAENDA KUSEMA KWA MAMA" msanii huyo amekuwa akivuma kwa sasa na wimbo wake huo na kujipatia sifa kibao.
Mwanamuziki Diamond akiimba jukwaani katika tamasha hilo lililofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders.
Mambo ya Chakacha nayo yakashika kasi katika tamasha hilo kama ubavyoona katika picha hii wanenguaji hwa wakifanya mambo makubwa jukwaani.
http://fullshangwe.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...