Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, October 11, 2011

OFISI YA WAZIRI MKUU KATIKA MAONYESHO YA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU






Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi akitembelea mabanda ya maonesho ya miaka 50 ya Uhuru ya Ofisi ya Waziri Mkuu yaliyoanza juzi katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, ambapo alitembelea mabanda mbalimbali na kujionea shughuli zinazofanywa na Idara, Taasisi na Wajasiriamali katika kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru wa Ofisi hiyo. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Bw. William Lukuvi akitembelea mabanda ya maonesho ya miaka 50 ya Uhuru ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...