Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, October 7, 2011

ZIARA YA WAZIRI MKUU BRAZIL


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Madini na Nishati wa Brazil, Mhe. Eddison Lobao (kulia) October 5, 2011 kwenye Ofisi za wizara hiyo zilizoko Brasilia. Yuko katika ziara ya kikazi nchini humo


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa na Waziri wa Kilimo na Mifugo (MInister for Agriculture, Livestock and Supply , Mhe. Jorge Alberto Portanova wakati alipowasili kwenye ofisi za Wizara hiyo zilizoko Brasilia kwa mazungumzo ya kiserikali akiwa katika ziara ya kikazi nchini Brazil, October 5, 2011

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...