Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, October 5, 2011

Prof. Tibaijuka alia na wajenzi holela


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka akizungumzahii leo jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Makazi Duniani. Miongoni mwa mambo aliyo yakemea ni watu kujenga katika maeneo ya wazi, hifadhi ya barabara pamoja na walewanao ziba barabara na kuzuia wakazi wengine kufika makwao. Prof. Tibaijuka ametoa wito kwa watanzania wote kuchukua tahadhari hizo mapema kabla ya watendaje wake wa Wizara kufika katika maeneo hayo.
Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam wakimsikiliza Prof Tibaijuka akifungua maadhimisho hayo yaliyoambatana na semina.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Godluck Ole Medeye akiangalia maonesho ya siku ya makazi Duniani.
OfisaMipango Miji wa Wizara, Bwana Mogella akielezea ramani ya Mji mpya wa Kigamboni.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...