Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, October 15, 2011

NGUMI KUPIGWA ILALA KESHO MABONDIA WAKUMBUSHWA SHERIA

Kocha wa mchezo wa ngumi Habibu Kinyogoli akiwaelekeza vijana toka klab mbalimbali jinsi sheria za mchezo wa ngumi zinavyokua wawapo ulingoni michuano ya mchezo wa ngumi inatarajiwa kulindima kesho jumapili katika ukumbi wa panandi panandi Ilala Bungoni
Babondia wakiwa katika picha ya pamoja na makocha wao wakati wa upimaji wa uzito kabla ya kupambana kesho
upimaji wa uzito ukiendelea

Baadhi ya mabondia wakiwa makini kumsikiliza kocha wa mchezo wa ngumi wakati wa kupima na kuelekezwa sheria za mchezo wa ngumi

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...