
Mkurugenzi wa Mashujaa Group Sakina Mbange 'Mamaa Sakina' akizungumza na wana habari

Waziri wa mambo ya ndani, Shamsi Vuai Naodha akisalimiana na baadhi ya wanakamati walioteuliwa kwa ajili ya ulinzi wa jiji la Dar es salaam

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamsi Vuai Naodha (kushoto) akipokea pesa taslim milioni mbili kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Mashujaa Group, Bi. Sakina Mbange 'mama Sakina' katika wa kuchangia kazi za ulinzi na usalama katika kanda maalum ya polisi Dar es salaam jana


Baadhi ya wafanyabiashara waliojitokeza kuchangia ulinzi
No comments:
Post a Comment