Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, May 26, 2012

CHADEMA NA KAMPENI YA "VUA GAMBA VAA GWANDA" JANGWANI LEO



Mewnyekiti wa Taifa Freeman Mbowe Chama cha Demokrasia na maendeleo
CHADEMA  akiwahutubia wafuasi wa chama hicho leo katika viwanja vya
Jangwani jijini Dar es salaam kwenye uzinduzi wa kampeni yao ya VUA GAMBA VAA GWANDA
ambayo itazunguka mikoa yote ya Tanzania.
(PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)
Dr Wlbroad Slaa nae akitoa msisitizo juu ya kampeni hiyo ya VUA GAMBA VAA GWANDA.
Mbunge wa jimbo la Ubungo John Mnyika akitoa akizungumza katika mkutano huo.
Halima mdee mbunge wa jimbo la Kawe nae akitoa msisitizo juu ya kampeni hiyo.
Wafuasi wa CHADEMA wakiwa wamefurika katika viwanja vya Jangwani
jijini Dar es salaam leo
Wafuasi wa chadema wakiwa na furaha
Waandishi wa habari wakiwa kazini ili kupata lile na hili tayari kwa kuijuza jamii juu ya matukioya mkutano huo.
wafuasi wa chadema wakiwa wametulia tulii wakisikiliza sera.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...