Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, May 28, 2012

WAPIGA PICHA ZA HABARI KATIKA MAFUNZO MAALUM LEO DAR


 Mkurugenzi wa Mfuko wa Vyombo vya Habari-Tanzania Media Fund (TMF) , Ernest Sungura, akifungua semina ya wapigapicha za habari waandamizi, leo kwenye ukumbi za Msimbazi Centre, Dar es Salaam. Kushoto ni mratibu wa semina hiyo Selemani Mpochi na watatu kutoka (kushoto) ni Ofisa Mawasiliano wa Airtel Dagio Kaniki.
Baadhi ya wapigapicha za habari wakiwa kwenye semina hiyo.
Mkufunzi kutoka Frem Tree, Mwanzo Milinga, akitoa mafunzo kuhusiana na kazi ya kupiga picha za habari, wakati wa semina hiyo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...