Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, May 28, 2012

NBC MORO BRANCH SPONSORSHI​P


Meneja wa Tawi wa Benki ya NBC Morogoro, Jasson Shumbusho (kulia) akikabidhi mfano wa hundi ya shs Milioni 5.1 kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Sanaa za Maonyesho ya Ngoma Africa Performing Arts, Davie Kitururu ikiwa ni udhamini wa NBC katika tamasha la sanaa la watoto la Paukwa. Kushoto ni Mkurugenzi mwenza wa Taasisi hiyo, Bi. Maya Davie na wengine ni baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...