Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, May 25, 2012

MABONDOA DIMOSO NA MROSO KUPSAMBANA JUNE 2 DDC KARIAKOO




Na Mwandishi Wetu

MPAMBANO wa masumbwi kufanyika june 2 mpambano huo ulioandaliwa na Zugo Promoter ni wa kirafiki utakao wakutanisha mabondia kutoka Arusha na Dar es salaam akizungumza na waandishi wa habari Meneja wa Zugo. Suleiman Zugo.

Alisema mabondia hawo ni George Dimoso wa Dar es salaam atakayepambana na Robert Mroso mpambano utakaofanyika katika ukumbi wa DDC Kariakoo jijini Dar es salaam

Mpambano huo utakaotanguliwa na Ambukile Chusa atakaezichapa na Ysufu Jibaba, Emanuel Philimoni na Saidi Mbelwa,Abeid Zugo na Rashidi Nyagatwa na mpambano mwingine utawakutanisha James Martin na Ally Mahiyo

Katika mpambano huo kutakuwa na burudani mbalimbali zitakazotolewa na wasanii aiza mchezo huo umeandaliwa kwa ajili ya kuinua mchezo wa masumbwi ili uweze kusonga mbele.

Zugo aliongeza kwa kusema wanatakiwa wafadhili wajitokeze kuzamini mchezo huo ili uweze kusonga mbele na kuliletea sifa taifa letu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...