Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, May 25, 2012

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AHUDHURIA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA KUHUSU MAENDELEO NDANI YA BARA LA AFRIKA GABORONE


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Nchi pamoja na wawakilishi  kutoka nchi za Afrika waliohudhuria mkutano wa Maendeleo Endelevu katika Bara la Afrika.
(PICHA NA VPO)
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal akizungumza na Rais wa Liberia Bibi Ellen Johnson Sirleaf kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Maendeleo Endelevu Barani Afrika leo mjini Gaborone
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal akihutubia kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Maendeleo Endelevu katika Bara la Afrika leo mjini Gaborone.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...