Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, February 15, 2013

AISHA MASHAUZI AKABIDHIWA KITAMBULISHO CHA TAIFA NA RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha na msanii wa muziki wa Taarab, Aisha Mashauzi, baada ya kumkabidhi kitambulisho cha Taifa, wakati wa uzinduzi wa zoezi la kukabidhi vitambulisho vya Taifa jana mjini Zanzibar. Mashauzi ni miongoni mwa wananchi kutoka Tanzania Bara waliopewa vitambulisho vyao katika hafla ya utoaji wa Vitambulisho vya Taifa,kwa mara ya kwanza kwa Upande wa Zanzibar,hafla iliyofanyika katika viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani Nje ya Mji wa Zanzibar. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...