Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, February 27, 2013

MFALME WA SAUDI ARABIA ATEMBELEA BENKI YA EXIM


 Mtoto wa Mfalme wa Saudi Arabia Amr Al Faisal (kulia) akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mtendaji Mtendaji Mkuu wa Benki ya Exim Dinesh Arora (kushoto) wakati alipotembelea makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam Jana. Kati kati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim Anthony Grant . (Na Mpiga Picha Wetu)
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim Anthony Grant (kushoto) akijadiliana jambo na Mtoto wa Mfalme wa Saudi Arabia Amr Al Faisal (kulia) alietembelea makao makuu ya benki hiyo jana. Kati kati ni Balozi wa Sudan nchini Tanzania Dr. Yassir Ali.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...