Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, February 15, 2013

TRA YATOA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA MASHINE ZA KODI (EFDs) KWA WAFANYABIASHARA WASIOSAJILIWA NA VAT MKOA WA ILALA




Ofisa Elimu na Huduma kwa mlipa kodi Kanda ya 
Mashariki wa Mamlaka ya  Mapato Tanzania (TRA), 
Hamisi Lupenja (kulia), akitoa mada katika semina ya 
siku moja kwa wafanyabiashara wa Kata ya Buguruni 
kuhusu matumizi ya mfumo wa mashine za kodi (EFDs) 
kwa wafanyabiashara wasiosajiliwa na VAT wa 
mkoa wa 
kodi wa Ilala. Semina hiyo imefanyika Dar es Salaam leo. 
(Picha habari na mwaibale.blogspot.com)
 Ofisa wa Elimu na Huduma kwa Mlipa Kodi wa Mkoa 
wa Kodi wa Wilaya ya Ilala, George Haule, akitoa 
mada kwa wafanyabiashara wakati wa semina hiyo
Baadhi ya Wafanyabiashara hao wakimsikiliza kwa makini 
mwezeshaji wa semina semina hiyo Bw.George Haule.
Wafanyabiashara hao wakimsikiliza kwa makini 
mwezeshaji wa semina semina hiyo Bw.Hamisi Lupenja.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...