Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, February 15, 2013

MPAMBANO WA MASUMBWI ULIVYOFANYIKA SIKU YA WAPENDANAO


Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila  'Super D' kushoto akipiga picha ya pamoja na Godfrey Silva baada ya kocha huyo kumzawadia vifaa mbalimbali vya michezo ikiwemo Flana ya SUPER D BOXING COACH Kikingia kinywa na DVD zenye mafunzo ya mchezo wa masumbwi kama zawadi kutoka kwa kocha huyo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Dkt, Milhael Arraham kushoto akimpima Afya Iddy Mnyeke kabla ya mpambano wake na Sadiki Momba jana

Bondia Cosmas Kibuga kulia akimshambulia kwa makonde Makali mawe wakati wa mchezo wao uliofanyika jana

Mashabiki na wapenzi wa mchezo wa masumbwi kutoka kambi ya Ilala akifatilia mpambao huo

Bondia Sadiki Momba kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na Iddyt Mnyeke wakati wa mpambano wao uliofanyika jana momba alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Sadiki Momba kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na Iddyt Mnyeke wakati wa mpambano wao uliofanyika jana momba alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Ramadhani Kumbele kushoto akioneshana kazi na Shabani Kilumbelumbe wakati wa mpambano wao uliofanyika jana Kumbele alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Mashabiki wa bondia toka kambi ya ilala Iddy Mnyeke wakiwa katika picha ya pamoja na bondia wao

Bondia Omar Ramadhani akishangilia ushindi baada ya kumpiga Deo njiku kwa point jana na kutawazwa kuwa bingwa wa taifa PST

Bondia Adamu Yahaya kushoto akipambana na Godfrey Slva wakati wa mpambano wao wa kugombania ubingwa wa Taifa unaotambuliwa na PST Silva alishinda kwa Point Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Ibrahimu Class ' Kking Class Mawe' akifatilia mpambano wa masumbwi uliokuwa ukifanyika manzese Dar es salaam jana na Aasha Kamnyanga ' Mama Iikota' Mrs Super D Boxing Coach. Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa Masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' akimkabidhi bondia Godfrey Silva vifaa vya mchezo wa masumbwi ikiwemo Flana, vikingia kinywa na DVD kwa ajili ya mafunzo ya mchezo uho picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila  'Super D' kushoto akipiga picha ya pamoja na Godfrey Silva baada ya kocha huyo kumzawadia vifaa mbalimbali vya michezo ikiwemo Flana ya SUPER D BOXING COACH Kikingia kinywa na DVD zenye mafunzo ya mchezo wa masumbwi kama zawadi kutoka kwa kocha huyo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Omary Ramadhani kushoto akijaribu kumkwepa bondia Deo Njiku wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana Ramadhani alishinda kwa point na kutangazwa kuwa bingwa wa Tanzania PST ,Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Deo Njiku wa Morogoro akioneshana uwezo wa kutupiana makonde na Omary Ramadhani wakati wa kugombania mkanda wa ubingwa wa Tanzania PST Ramadhani alishinda kwa Point .picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Mabondia wakisubili matokeo ya mchezo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...