Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, February 27, 2013

WANA CCM KATA YA JANGWANI WAFANYA MKUTANO WA KWANZA

Mwenyekiti wa CCM Kata ya Jangwani Mohamed Bawaziri (kulia) akipiga makofi  ya furaha na Mjumbe wa alimashahuli kuu ya CCM, Rameshi Patel wakati wa kumkaribisha kufungua mkutano wao wa kwanza wa kata hiyo Dar es salaam  tangia wachaguliwe kushoto ni mwanachama Said Side

Mjumbe wa alimashahuli kuu ya CCM, Rameshi Patel katikati naMwenyekiti wa CCM Kata ya Jangwani Mohamed Bawaziri

Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa kata ya Jangwani wakipiga vigeregere, Dar es salaam jana  wakati wa ufunguzi wa mkutano wa kwanza tangia wachaguliwe viongozi wa kata hiyo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...