Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, February 25, 2013

SIMBA YAKATWA MKIA NA MTIBWA SUGAR, YAFUNGWA 1-0



 Kikosi cha Simba kilichoanza katika mchezo wa leo.
 Kikosi cha Mtibwa Sugar.
 Mshambuliaji wa Simba, Amri Kiemba akichuana na kiungo wa Mtibwa Sugar, Shaban Nditi.
Wachezaji wa akiba wa Simba wakiwa awaamini macho yao wakati jahazoi la timu hiyo likiwa linazama
Golikipa wa Mtibwa Sugar, Hussein Shariff akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Mrisho Ngasa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Mtibwa imeshinda bao 1-0. 

 Waamuzi wa mchezo wa leo wakitoka uwanjani
Kocha wa Simba, Patrick Liewig akitoka uwanjani baada ya mchezo. ZAIDI TEMBELEA http://francisdande.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...