Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, February 20, 2013

Floyd Mayweather ala mkataba mnono

Floyd Mayweather
 
BONDIA bingwa wa Dunia mkanda wa WBC Floyd Mayweather Jr  ambaye ajawai kupigwa wara kutoka droo rekodi yake won 43 (KO 26) + lost 0 (KO 0) + drawn 0 = 43  ameingia mkataba wa kumwezesha kupigana hadi mara sita zaidi ya kipindi cha miezi 30. mkataba uho mnono utakao mfanya awe mwana michezo wa kwanza duniani kuingia mkataba mkubwa kuliko mwana michezo yoyote 

Mkataba uho utanza kwa mara ya kwanza kwa kupambana na Robert Guerrero Mei 4 ambapo kuna mfanya awe na mpambano mmoja tangia mwaka jana mei 5 kumtwanga bondia Miguel Cotto na kuamliwa kwenda jela baada ya kuitalifiana na mpenzi wake tangia atoke jela ajawai kucheza na ndipo anapokutana na Robert Guerrero mwenye rekodi won 31 (KO 18) + lost 1 (KO 0) + drawn 1 = 35 

Mkataba huo utausisha matangazo mbali mbali ya kwenye TV yatakayo muwezesha kumiliki mlungula kwa kwenda mbele kwa kipindi chote hicho bondia huyo anayekubalika kwa sasa hususani kwa stayl yake ya kujikinga na kupiga kumi kwa kushtukiza

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...