Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, February 28, 2013

NADHIPA WA ISIDINGO AANZA SAFARI YA KUELEKEA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO LEO























 
 
 
 
 
 
 
 
 
Mwigiizaji maarufu Nadhipa ameanza safari ya kupanda mlima Kilimanjaro leo asubuhi akiwa na wanawake wengine 10 kwa ajili ya kuhamasisha ukatili dhidi ya wanawake.
 
Katika msafara huo wapo Watanzania Wawili, Ashura Kayupayupa, ambaye ni mwanaharakati dhidi ya ndoa za mapema na Mwalimu Anna Philipo ambaye ni Mwanaharakati dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia kutoka katika jamii ya Wahadzabe.

Kutoka Nepal ni Shailee Basnet, Pujan Acharya, Nimdoma Sherpa, Pema Diki Sherpa, Chunu Shretha, Asha Kumari Singh na Maya Gurang, pamoja na wapiga picha wawili James Gimbrone na Russ Paraseau

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...