Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, February 17, 2013

RAIS KIKWETE AZIFARIJI FAMILIA ZA WALIOKUFA KATIKA AJALI YA GARI UBENA ZOMOZI


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwafariji ndugu, jamaa na marafiki wa familia zilizoondokewa na watoto na wazazi kwa ajali ya gari maeneo ya kijiji cha Kibiki, Ubena Zomozi katika mkoa wa Pwani Februari 11, 2013 iliyoua watu wanane papohapo, wakiwemo wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Chalinze baada ya gari dogo aina ya Toyota Mark II lililokuwa limebeba abiria wanane kugongana uso kwa uso na roli.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwafariji ndugu, jamaa na marafiki wa familia zilizoondokewa na watoto na wazazi kwa ajali ya gari maeneo ya kijiji cha Kibiki, Ubena Zomozi katika mkoa wa Pwani Februari 11, 2013 iliyoua watu wanane papohapo, wakiwemo wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Chalinze baada ya gari dogo aina ya Toyota Mark II lililokuwa limebeba abiria wanane kugongana uso kwa uso na roli.
 Sehemu ya mabaki ya gari hilo lililopata ajali na kuua watu wanane.
  Sehemu ya mabaki ya magari hayo yaliyopata ajali na kuua watu wanane.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwafariji ndugu, jamaa na marafiki wa familia zilizoondokewa na watoto na wazazi kwa ajali ya gari maeneo ya kijiji cha Kibiki, Ubena Zomozi katika mkoa wa Pwani Februari 11, 2013 iliyoua watu wanane papohapo, wakiwemo wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Chalinze baada ya gari dogo aina ya Toyota Mark II lililokuwa limebeba abiria wanane kugongana uso kwa uso na roli.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...