Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, February 26, 2013

NMB YAWA SUPER BRAND





Mkuu wa masoko na mawasiliano wa NMB,Imani Kajula akipokea tuzo ya super  brand kutoka kwa
mkurugenzi wa super brand East Africa Jawad Jaffer.

Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Mark Wiessing akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Clouds Media Group, Joseph Kussaga (Kulia) na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa NMB Imani Kajula.


Baadhi ya wafanyakazi wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa NMB wakiwa na tuzo ya super brand 2013-2014

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...