
kaseba akiongea na mabondia waliojitokeza kuzichapa bulee siku ya jumapili ijayo

Jackson Laurance na Mwishee Magwila wakipambana

hamisi mwinyuma na josefu haule wakiwa katika picha ya pamoja na mashabiki

bondia Shabani Madilu na moro best hassan wakipambana madilu alishinda kwa pointi

Jackson Laurance na Mwishee Magwila wakipambana

profesa j akiwa na kaike

mtoto akilia machozi baada ya baba yake mdogo rasta kupigwa raundi ya kwanza wakati wa mchezo huo

msemaji chochote wa maonesho hayo mc manywere akizunguoza

ngumi si mchezo mtu chiniiiii
No comments:
Post a Comment